Dully aibua mapya!! Uhuru wa Tanzania

Mwanamuziki mkongwe wa bongo fleva 'Prince Dully Sykes' Mr. Misifa' amefunguka leo mapya na kudai familia yake ilihusika katika kuleta uhuru wa nchi hii ingawa serikali imekuwa haiwakumbuki watu hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS