#AUDIO Nahodha Isihaka apiga goti
Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud ameomba radhi kwa utovu wa nidhamu aliyoonyesha katika mechi ya 'game 1' ya fainali za Sprite BBall Kings na kudai kilichotokea siku hiyo hakikuwa dhumuni lake ila hasira ndizo zilizomponza.