Mkwasa afunguka kuhusu Jengo lao

Katibu Mkuu, Charles Boniface Mkwasa.

Katibu Mkuu wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Charles Boniface Mkwasa amekiri kuwa klabu yao inadaiwa kodi na serikali huku akiwataka mashabiki na wanachama wa jangwani kuwa watulivu katika kipindi hiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS