TFDA yafungia machinjio ya nyama

Baada ya mamlaka ya chakula na dawa kanda ya kati kufunga machinjio ya manispaa ya Singida, wakazi wa manispaa ya Singida wapo hatarini kupatwa na magonjwa yatokananyo na kula nyama kufuatia baadhi ya wauza nyama kuchinja Ng'ombe bila kupimwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS