Mwanamke mmoja auliwa kikatili

Picha hii haina uhalisia na tukio husika.

Mwanamke mmoja amekutwa akiwa ameuawa na watu wasiyofahamika na mwili wake kutupwa kwenye nyumba ambayo haijamalizika kujengwa (Pagala) huku akiwa amefungwa kwenye mfuko wa sandarusi na kuzungushiwa nguo alizokuwa amevaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS