Aliyezuia polisi mahakamani ni wakili feki - TLS

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimesema kuwa Baraka Mkama ambaye alitambulishwa kama wakili na kuonekana akiwazuia askari Polisi wasiwatie nguvuni  wateja wake baada ya kuachiwa huru na Mahakama sio wakili wala mwanachama wa TLS

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS