Wananchi washangaa CHADEMA kuzindua mradi wa maji

Baadhi ya wananchi wasio na vyama pamoja wale wa CCM wamelalamikia hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kanda ya Nyasa na mkoa wa Njombe kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Uliwa halmashauri ya mji wa Njombe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS