Rugemalira na Habinder 'msoto' wapamba moto

Mkurugenzi wa kampuni ya VIP Engeneering na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira (kushoto) na Habinder Seth Sigh (kulia) Mwenyekiti Mtendaji wa PAP.

Kesi iliyokuwa inawakabili Mkurugenzi wa kampuni ya VIP Engeneering na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira na Habinder Seth Sigh, imehairishwa mpaka Agosti 31 mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS