Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako leo ameshiriki zoezi la ufuatiliaji wa miradi ya elimu Wilayani Kibondo, mkoani Kigoma inayotekelezwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Wizara yake.