Nimedhalilishwa sana - Issabela
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Issabela Mpanda ambaye alikuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu na msanii mwenzake Luteni Kalama, amedai kuwa kitendo cha msanii huyo kumuacha na kuoa mwanamke mwengine, alihisi amejiabisha sana.