Anna Mghirwa amwaga chozi hadharani Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghirwa ameshindwa kujizua na kumwaga chozi hadharani, alipokuwa akitoa hotuba yake kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro akiwapokea watoto Sadia, Doreen na Wilson. Read more about Anna Mghirwa amwaga chozi hadharani