Anna Mghirwa amwaga chozi hadharani

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghirwa ameshindwa kujizua na kumwaga chozi hadharani, alipokuwa akitoa hotuba yake kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro akiwapokea watoto Sadia, Doreen na Wilson.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS