Kilichoelezwa kuhusu mgomo wa wafanyabiashara

Soko Kuu la Kariakoo

Hivi karibuni umetokea mgomo wa wafanyabiashara kwenye soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambalo ndiyo soko kuu la bidhaa mbalimbali za jumla na rejareja zinazouzwa nchini na hata kwenye baadhi ya nchi jirani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS