Kilwa kuboreshwa kiutalii Mkurugenzi wa Idara ya Malikale nchini Dkt. Christowaja Ntandu Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, imedhamiria kuhakikisha inaboresha urithi wa kihistoria na malikale ndani ya wilaya hiyo. Read more about Kilwa kuboreshwa kiutalii