Umoja wa mataifa walaani mauaji eneo la Gaza Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani kuuawa kwa raia katika eneo la Gaza kwa kusema ni kitendo kisichokubalika na kuzitaka pande hasimu katika eneo hilo kujizuia haraka na vurugu. Read more about Umoja wa mataifa walaani mauaji eneo la Gaza