Trump akutwa na hatia ya unyanyasaji kingono. Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump Baraza la wazee wa mahakama ya mjini New York limemkuta rais wa zamani wa Marekani Donald Trump na hatia ya kumnyanyasa kingono na kumchafulia jina mwandishi wa habari E. Jean Carroll. Read more about Trump akutwa na hatia ya unyanyasaji kingono.