Asumbuliwa na kichwa kwa miaka 13, anaomba msaada
Aneth Edward mkazi wa mtaa wa Mji Mpya Kawe Dar es Salaam, amewaomba Watanzania wamsaidie kupata fedha za matibabu ya mtoto wake Brian Karua, anayesumbuliwa na maradhi ya kichwa yaliyopelekea kuanza kupooza kwa mwili wake na hawezi kula wala kujihudumia kwa chochote.