Wavuvi wafia ziwani Geita

Mitumbwi

Wavuvi watatu wamefariki dunia na wengine watatu wamenusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kuvulia samaki kuingiliwa maji na kuzama usiku wa kuamkia leo Mei 8, 2023.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS