OSHA yasisitiza waajiri kuitumia teknoloji.

Ikiwa ni siku ya maadhimisho ya wafanyakazi duniani wakala wa usalama na afya mahala pa kazi OSHA kupitia kwa mtendaji mkuu imetoa wito kwa waajiri kuweka mifumo imara ya ulinzi ikiwemo kupitia teknolojia kuhakikisha maeneo ya kazi yanakuwa salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS