Kidato cha nne waliofutiwa matokeo kurudia mtihani

Katibu Mtendaji wa NECTA, Dkt Said Ally Mohamed

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limetangaza kuanza kwa mtihani wa marudio wa kidato cha nne kwa wanafunzi 337 ambao matokeo yao yalifutwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo udanganyifu.
Wanafunzi hawa ni wale waliofanya mtihani mwaka 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS