Soka la bongo uozo- Afande Sele Mfalme wa mashairi, Afande sele amewachana viongozi wa klabu za mpira wa bongo,(Simba na Yanga) kwamba haamini kama Tanzania nzima hakuna vijana wenye umri mdogo mpaka kuanza kugombea wachezaji wazee. Read more about Soka la bongo uozo- Afande Sele