"Nimeguswa na kifo cha Ali Yanga" - Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, wanachama wa CCM, uongozi wa Yanga na wana michezo kiujumla kufuatia kifo cha shabiki wao mkubwa Ali Mohamed, maarufu kama Ally Yanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS