Zitto agonga mwamba urais TFF

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe

Mbio za kugombea urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zimegonga mwamba kwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kwa kile alichodai kuwa atashindwa kuzitumikia kofia tatu kwa wakati mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS