Mchenga team yaigaragaza Ukonga Warriors

Wachezaji wa Mchenga team (wenye jezi za njano) wakiminyana na Ukonga Warriors (jezi nyeupe).

Mchenga team yaichakaza Ukonga Warriors kwa'point' 115-63 katika michuano ya Sprite BBall kings hatua ya mtoano, ambapo mchezo huo umepigwa katika uwanja wa Harbours Club Kurasini Mivinjeni Jijini Dar es Salaam mapema leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS