AUDIO: Msimpangie Beckham- Fid Q

Fid Q

Farid Kubanda 'Fid Q' ameshindwa kuwavumilia wabongo wanaomtusi mwanasoka David Beckham aliyeko nchini Tanzania mapumzikoni, kwa kuwaambia wasimpangie kutangaza bali wamuheshimu mtalii huyo ambaye ametumia garama zake kufika nchini na siyo ufadhili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS