Manara akazia kamba pointi tatu za Kagera

Haji Manara

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara (aliyefungiwa), ameendelea kukazia msimamo wake  kuwa klabu hiyo ndio mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara kwa msimu huu na mpaka sasa  kwa kudai wanasubiri majibu kutoka FIFA muda mfupi ujao. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS