Bashe naye atishiwa kupotezwa

Hussein Bashe Bungeni

Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini kupitia tiketi ya CCM, Hussein Mohamed Bashe amesema ametumiwa ujumbe wa vitisho kuwa yeye ni miongoni mwa watu 11 waliopo hatarini kufanyiwa vitu vibaya popote pale watakapoonekana ikiwemo kuundiwa ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS