Wananchi wamekondeana - Mchengerwa

Mohamed Mchengerwa - Mbunge wa Rufiji

Mbunge wa jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa (CCM) amefunguka na kusema kuwa katika bunge hili la 11, kuna wabunge watatu ambao wanaishi maisha magumu sawa na wananchi wao na kwamba wamekondeana kutokana na ugumu huo wa maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS