Wananchi wamekondeana - Mchengerwa
Mbunge wa jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa (CCM) amefunguka na kusema kuwa katika bunge hili la 11, kuna wabunge watatu ambao wanaishi maisha magumu sawa na wananchi wao na kwamba wamekondeana kutokana na ugumu huo wa maisha.

