Mchezeeni Alikiba sio mimi-AT

Msanii wa muziki miondoko ya mduara nchini, AT amchana vikali 'dancer' na msanii Msami kwa kumwambia kwake siyo mahali pakuchezea kama anavyodhania huku akimtaka aende kwa Alikiba kwakuwa ni mnyonge hata akitukanwa hukaa kimya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS