Ndugai awatia kikaangoni Mbowe na Mdee
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai ameagiza mbunge wa kawe Halima Mdee, na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kujitokeza mbele ya kamati ya maadili kujibu tuhuma za kutoa lugha za matusi bungeni.