Yanga washushwa 'presha' kuhusu hali ya Zulu

Kiungo Justine Zulu wa Yanga akiwa chini baada ya kufanyiwa madhambi

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC imewatoa hofu mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kuhusu hali ya majeraha ya kiungo wao Mzambia, Justine Zulu, ambapo wamesema kuwa mchezaji huyo hakuvunjika mguu kama ilivyodhaniwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS