Vifo vya vijana Sunuka, wasaka wachawi watafutwa

Wananchi wa kijiji cha Sunuka

Wakazi wa Kijiji cha Sunuka Uvinza mkoani Kigoma, kwa kushirikina na serikali ya kijiji hicho, wamelazimika kuchukua waganga wa jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua watu wanaofanya uchawi wakidai kuwa chanzo cha vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS