Rais Magufuli amlilia Dkt Elly Macha

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli  amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndungai kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Dkt, Elly Marko Macha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS