Bajeti ya ugali yasomwa Kenya, ajira zasimamishwa

Waziri wa Fedha wa Kenya, Henry Rotich

Bajeti ya Kenya ya mwaka 2017/2018, imesomwa leo kinyume na inavyosomwa kawaida mwezi Juni, kutokana na uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti mwaka huu, huku ikitangaza kusimamisha ajira katika sekta ya umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS