Wachimbaji wadogo walia na Rais Magufuli

Wachimbaji wadogo wadogo wanaosafirisha nje ya nchi mchanga wenye masalia ya madini wakizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam hii leo

Baadhi ya wachimbaji wadogo ambao wanadai kuwa ni sehemu ya wamiliki wa makontena yaliyozuiliwa katika bandari ya Dar es Salaam yakiwa na shehena ya mchanga wa madini, wameiomba serikali kupitia upya zuio hilo kwa maelezo kuwa limeathiri biashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS