Ujenzi wa reli kipaumbele cha kwanza bajeti mpya

Waziri wa Fedha, Dkt. Philip Mpango

Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti ya mwaka wa fedha 2017/18 huku ikionyesha ukomo wa bajeti kufikia shilingi trilioni 31.6 kutoka trilioni 29 za mwaka wa fedha unaoisha Juni 30, mwaka huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS