Ujenzi wa reli kipaumbele cha kwanza bajeti mpya
Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti ya mwaka wa fedha 2017/18 huku ikionyesha ukomo wa bajeti kufikia shilingi trilioni 31.6 kutoka trilioni 29 za mwaka wa fedha unaoisha Juni 30, mwaka huu