Watuhumiwa wa ugaidi waigomea mahakama Baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi mkoani Arusha. (PICHA: Maktaba) Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imesikiliza malalamiko ya watuhumiwa 61 wanao kabiliwa na kosa la ugaidi, ambapo ni shauri lililofunguliwa mwaka 2014. Read more about Watuhumiwa wa ugaidi waigomea mahakama