Watuhumiwa wa ugaidi waigomea mahakama

Baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi mkoani Arusha. (PICHA: Maktaba)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imesikiliza malalamiko ya watuhumiwa 61 wanao kabiliwa na kosa la ugaidi, ambapo ni shauri lililofunguliwa mwaka 2014.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS