Msuva apania kulipa kisasi kwa Warundi
Kiungo mshambuliaji kutoka timu ya Taifa Stars, Saimon Msuva amesema mechi inayotarajiwa kuchezwa Jumanne (kesho) dhidi ya Burundi itakuwa kali zaidi kwa sababu wanataka kufuta historia ya kufungwa na timu hiyo.