Faru John alikufa kwa kukosa matunzo - Ripoti

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia) akipokea ripoti kutoka kwa Mkemia Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea taarifa rasmi ya uchunguzi wa kifo cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Prof. Samwel Manyele ambaye alikuwa akiongoza tume maalum iliyoundwa na Waziri Mkuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS