Mbwana Samatta (Kushoto) akimtoka mchezaji wa Botswana katika mchezo
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika timu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta leo ameing'arisha Taifa Stars kwa kuifungia mabao mawili na kuipa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Botswana.