Mayanga aomba nguvu za mashabiki Taifa Stars

Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga

Kocha wa timu ya Taifa ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" Salum Mayanga amewataka mashabiki kuonesha uzalendo kwa timu yao hii leo katika mchezo wa kirafiki ya kimataifa katika wiki ya kalenda ya FIFA didi ya Botswana utakaochezwa Uwanja wa Taifa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS