Mayanga aomba nguvu za mashabiki Taifa Stars
Kocha wa timu ya Taifa ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" Salum Mayanga amewataka mashabiki kuonesha uzalendo kwa timu yao hii leo katika mchezo wa kirafiki ya kimataifa katika wiki ya kalenda ya FIFA didi ya Botswana utakaochezwa Uwanja wa Taifa