Nikki wa Pili awapa darasa BASATA

Nikki wa Pili (kushoto) ndani ya Planet Bongo

Msanii Nikki wa Pili kutoka katika kampuni ya Weusi amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufanya mpango kuwaita wasanii kwa ujumla ili wakae pamoja waweze kuwaweka sawa juu ya neno "maadili" linalotumiwa kama fimbo ya kuwachapa 'wasanii'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS