Kocha wa England anavyoitamani Ujerumani

South gate katika mazoezi ya England

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Uingereza Gareth Southgate, amesema ni wakati sasa wa soka la Uingereza, kupiga hatua kama ilivyofanikiwa mabingwa wa Dunia, Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS