Mkwasa: Waalgeria hawatutishi

Boniface Mkwasa

Katibu Mkuu wa timu ya Yanga SC, Charles Boniface Mkwasa amesema timu yake imejipanga vyema kuelekea mchezo wao dhidi ya MC Alger kutoka Algeria na kuwataka mashabiki wa klabu hiyo kutokuwa na hofu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS