Haya ndiyo mafanikio ya vifungo vya nje

Waziri wa Mambo ya Ndani - Mwigulu Nchemba

Takwimu zinaonesha kati ya wafungwa 4,815 walionufaika na mpango wa Parole (Wafungwa kupewa vifungo vya nje) ni wafungwa 25 pekee ambao walikiuka masharti

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS