AT amvaa Rama Dee kuhusu Adam Juma
Mfalme wa miduara nchini Tanzania AT ambaye kwa sasa anatamba na ngoma mpya yenye mahadhi tofauti na mduara inayokwenda kwa jina la 'Sili feel', amemwachana msanii Rama dee kwa kuwambia anapaswa awaheshimu watu waliomtangulia.