Arsenal yakanusha kumtaka kocha wa Dortmund

Thomas Tuchel - Kocha wa Dortmund

Klabu ya soka ya Arsenal imekanusha taarifa zilizotoka Ujerumani, kuwa imeongea na kocha wa Borussia Dortmund, Thomas Tuchel awe mbadala wa kocha wa timu hiyo, Arsene Wenger.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS