TFF yafunguka kuhusu deni wanalodaiwa na TRA
Shirikisho la Soka nchini TFF limesema, wadau husika wa deni wanaodaiwa na Mamlaka ya Mapato nchini TRA ambao ni pamoja na serikali pamoja na klabu yaYanga, wanaendelea na mazungumzo ili kuweza kuafikiana juu ya deni hilo.