TFF yafunguka kuhusu deni wanalodaiwa na TRA

Ofisi za TFF bado zimeendelea kushikiliwa na TRA

Shirikisho la Soka nchini TFF limesema, wadau husika wa deni wanaodaiwa na Mamlaka ya Mapato nchini TRA ambao ni pamoja na serikali pamoja na klabu yaYanga, wanaendelea na mazungumzo ili kuweza kuafikiana juu ya deni hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS