Mwakyembe, Kabudi waapishwa rasmi

Viongozi walioapishwa leo wakila kiapo cha maadili ya utumishi wa umma, Ikulu DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, amewaapisha Mawaziri wawili, Katibu Mkuu Ikulu, Mabalozi wanne na Kamishna wa Tume ya Mahakama, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS