Sura mpya zatawala kikosi cha Taifa Stars Kocha Salum Mayanga (Kushoto) akiwa Msemaji wa TFF, Alfred Lucas Kocha Mkuu wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Salum Mayanga leo Jumatatu Machi 13, 2017 ametangaza majina ya wachezaji 26 watakaounda kikosi hicho. Read more about Sura mpya zatawala kikosi cha Taifa Stars