Ajiua baada ya kukamatwa na viroba

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma (Kushoto) akifafanua suala hilo

Mfanyabiashara na muagizaji wa pombe za viroba, Festo Mselia, amekutwa amejiua kwa kujipiga risasi ikiwa ni siku moja baada ya jeshi la polisi kuendesha msako na kukamata shehena ya pombe katika ghala alililokuwa akilimiki mjini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS